DANIEL; ATOA MAKALA YA NDOA
UKUMBI WA SHWANGWE Katika kufurahia na kumshukuru Mwenyezi Mungu .Mr Daniel ameandika makala ili kuisa jamii mambo muhimu kwa wanandoa. Makala hiyo yenye kichwa habari: UKIIGIZA MAISHA NDOA ITAKUSHINDA. Bwana Daniel ameongelea mambo mengi mazuri sana katika mahusiano. Makala hii inapatikana katika gazeti la Mtanzania la tarehe 3 september 2017